Micheweni wamchangia Maalim Seif kuwania urais
Wafuasi na wanachama kadhaa waliojitokeza kwenye ukumbi wa ofisi za ACT Wazalendo Micheweni waliimba kwa furaha na hamasa wakimuhakikishia kiongozi wao huyo kwamba bado wana imani naye kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar.
ACT-Wazalendo yakemea rushwa kwenye uchaguzi
Chake-Chake, PEMBA: Chama cha ACT-Wazalendo kimeapa kuwachukulia hatua za kinidhamu wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho watakaobainika wakijihusisha na vitendo vya rushwa. Kauli hiyo imetolewa leo … Continue Reading ACT-Wazalendo yakemea rushwa kwenye uchaguzi
ZEC yatangaza vituo vya uandikishaji
ZEC imewataka wale wanaokwenda kujiandikisha kuhakikisha kuwa wana vitambulisho vyao vya Mzanzibari Mkaazi na wale wanaohakiki taarifa zao wawe na vitambulisho vya kura na vya Mzanzibari Mkaazi kwa pamoja.
Jussa amvaa Zitto uongozi ACT
Jussa anakuwa mwanachama wa tatu wa ACT Wazalendo kuomba ridhaa ya kuwania nafasi hiyo, akitanguliwa na kiongozi anayetetea nafasi yake, Zitto Kabwe, na Joseph Mona, ambaye hivi sasa ni Katibu wa mkoa wa Katavi.
Sasa ni rasmi, Maalim Seif kugombea
Makamu huyo wa kwanza mstaafu wa Rais wa Zanzibar anaingia kwenye kinyangànyiro ya uwenyekiti wa chama chake kipya ambacho alijiunga nacho mwaka mmoja uliopita.
Kobe Bryant aaga dunia
Bryant alikuwa mchezaji wa kwanza mpira wa kikapu nchini Marekani kutunukiwa tuzo ya filamu ya Academy Award mwaka 2018 kwa filamu fupi ya michoro iitwayo “Dear Basketball”.
We Harvest the Present from the Future We Planted Yesterday: A Conversation with Abdilatif Abdalla and Ngugi wa Thiong’o
Abdilatif Abdalla (born 1946) is a Kenyan writer and a political activist. He was the first political prisoner in independent Kenya. At the age 22 he was imprisoned by the … Continue Reading We Harvest the Present from the Future We Planted Yesterday: A Conversation with Abdilatif Abdalla and Ngugi wa Thiong’o