Feeds:
Posts
Comments

Waziri wa Nchi (OMPR), Mohammed Aboud Mohammed

Nachukulia kuwa gazeti la leo (8 Januari 2012) na Nipashe, kupitia habari iliyotumwa na mwandishi wake wa Zanzibar (Mwinyi Sadalla), halijamzulia uwongo Mohammed Aboud, kwa kumnukuu akisema “Ni hatari kuwa na mfumo wa kutoa urais wa Muungano kwa zamu kwa sababu ni mwanzo wa kuligawa taifa vipande.” Continue Reading »

Rais Ali Mohammed Shein

KWA miezi miwili sasa kumekuwa kukishuhudia vikao vya serikali kujitathmini. Alianza kiongozi mkuu wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Alikutana na waandishi wa habari waandamizi na kuwaeleza tathmini yake ya utendaji tangu ashike usukani wa kuiongoza nchi hii ya visiwa. Continue Reading »

Mzee Hassan Nassor Moyo

HATUNA budi tushukuru kwamba mwaka jana visiwa vya Zanzibar viliweza kukwepa machafuko, migawanyiko na migogoro ya kisiasa iliyozikumba nchi kadhaa barani Afrika na ulimwenguni kwa jumla. Kinyume na kawaida, mwaka ulipita bila ya kuzuka vituko vyovyote au mapambano yoyote ya kisiasa baina ya wafuasi wa vyama vikuu viwili vya CCM na CUF Visiwani humo au kama ilivyokuwa zamani baina ya vyama vya ZNP na ASP. Continue Reading »

Ukumbi wa muziki katika Jumba la Michezo la Sydney linachukuwa watu 2,700 kwa wakati mmoja. Zanzibar Daima ilitembelewa mara 33, 000 mwaka 2011. Ingelikuwa ni onyesho la muziki mjini Sydney, ingelikuwa imevuuka mara 12 ya mauzo yake ya tiketi za kawaida. Ahsanteni sana watembeleaji wa Zanzibar Daima. Mwana 2012 uwe ni mwaka wa kheri zaidi kwa Zanzibar. Mwaka wa Ukombozi Kamili.

Kujuwa zaidi kuhusu mwaka 2011 ulivyokuwa kwa Zanzibar Daima, tafadhali bonyeza hapa.

Older Posts »