<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:georss="http://www.georss.org/georss" xmlns:geo="http://www.w3.org/2003/01/geo/wgs84_pos#" xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: Maoni</title>
	<atom:link href="http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://zanzibardaima.wordpress.com</link>
	<description>Mtazamo wa Mzanzibari kwa Nchi yake</description>
	<lastBuildDate>Tue, 17 Nov 2009 15:55:46 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.com/</generator>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<item>
		<title>By: Harith Ghassany</title>
		<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-231</link>
		<dc:creator>Harith Ghassany</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 20 Oct 2009 00:00:10 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-231</guid>
		<description>Adui wa Zanzibar si Tanganyika wala si CCM. Adui wa Zanzibar ni umasikini wa ujinga tuliovikwa nao Wazanzibari na Watanganyika na Tanganyika. Siku tutakapovivuwa vizoro basi Wazanzibari na Watanganyika tutaliwacha pango la giza na kuipanda ngazi kuelekeya kunako mwangaza. Itatuchukuwa muda kabla macho kuchanganya kwa sababu giza la muda mrefu lina tabia ya kuyapofowa macho ya jamii. Chembelecho sahib na ndugu yangu mmoja, Zanzibar haitokombolewa na CUF wala na CCM bali na chama kimoja cha Uzanzibari. Soma utusomeshe brother Mohammed.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Adui wa Zanzibar si Tanganyika wala si CCM. Adui wa Zanzibar ni umasikini wa ujinga tuliovikwa nao Wazanzibari na Watanganyika na Tanganyika. Siku tutakapovivuwa vizoro basi Wazanzibari na Watanganyika tutaliwacha pango la giza na kuipanda ngazi kuelekeya kunako mwangaza. Itatuchukuwa muda kabla macho kuchanganya kwa sababu giza la muda mrefu lina tabia ya kuyapofowa macho ya jamii. Chembelecho sahib na ndugu yangu mmoja, Zanzibar haitokombolewa na CUF wala na CCM bali na chama kimoja cha Uzanzibari. Soma utusomeshe brother Mohammed.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Said</title>
		<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-229</link>
		<dc:creator>Said</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 08 Oct 2009 21:17:22 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-229</guid>
		<description>Brother umesomea saikolojia mfundishe mtu afahamu na wala usimfundishe kwa hasira.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Brother umesomea saikolojia mfundishe mtu afahamu na wala usimfundishe kwa hasira.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mohammed Khelef Ghassani</title>
		<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-225</link>
		<dc:creator>Mohammed Khelef Ghassani</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 16 Sep 2009 17:12:30 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-225</guid>
		<description>Elly Stabby ni kama kwamba unaishi dunia nyingine na hujui nini hasa matakwa ya Wazanzibari. Bado hatujadai kuvunja Muungano ingawa tunaweza na tunayo haki hiyo. Kwa sasa madai yetu makubwa na uwiano na uadilifu katika Muungano huu. 

La kwamba Zanzibar haijitegemei kwa chakula, hilo ni kitisho kisicho maana kabisa. Kwani unadhani huo mchele wa Kyela na maharage tunayoingiza Zanzibar tunagaiwa bure na Watanganyika? Unadhani tunapunguziwa ushuru na TRA? Ni biashara. Ni kama vile ambavyo Watanganyika wanavyowauzia Wakenya na Wamalawi mahindi yao. Kwani Kenya na Malawi zimeungana na Tanganyika?

Kwani Wazanzibari wakija na pesa zao kununua mchele, hapo ambapo Muungano huu utakuwa haupo tena, Watanganyika watakaa kuwauzia? Kama wakikataa, si wataagizia Asia na Latin America kama vile wanavyoagizia magari na vitu vyengine? 

Kwa hivyo, ndugu yangu Elly usitutishe nyama-rero. Tumo kwenye Muungano si kwa ajili ya kugaiwa maharage, vitunguu na nyanya. Vitu hivyo hatupewi bure, tunanunua kama vile ambavyo tunanunua Blue Band kutoka Kenya. Sawa sawa?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Elly Stabby ni kama kwamba unaishi dunia nyingine na hujui nini hasa matakwa ya Wazanzibari. Bado hatujadai kuvunja Muungano ingawa tunaweza na tunayo haki hiyo. Kwa sasa madai yetu makubwa na uwiano na uadilifu katika Muungano huu. </p>
<p>La kwamba Zanzibar haijitegemei kwa chakula, hilo ni kitisho kisicho maana kabisa. Kwani unadhani huo mchele wa Kyela na maharage tunayoingiza Zanzibar tunagaiwa bure na Watanganyika? Unadhani tunapunguziwa ushuru na TRA? Ni biashara. Ni kama vile ambavyo Watanganyika wanavyowauzia Wakenya na Wamalawi mahindi yao. Kwani Kenya na Malawi zimeungana na Tanganyika?</p>
<p>Kwani Wazanzibari wakija na pesa zao kununua mchele, hapo ambapo Muungano huu utakuwa haupo tena, Watanganyika watakaa kuwauzia? Kama wakikataa, si wataagizia Asia na Latin America kama vile wanavyoagizia magari na vitu vyengine? </p>
<p>Kwa hivyo, ndugu yangu Elly usitutishe nyama-rero. Tumo kwenye Muungano si kwa ajili ya kugaiwa maharage, vitunguu na nyanya. Vitu hivyo hatupewi bure, tunanunua kama vile ambavyo tunanunua Blue Band kutoka Kenya. Sawa sawa?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: elly Stabby</title>
		<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-224</link>
		<dc:creator>elly Stabby</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 07 Sep 2009 11:02:42 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-224</guid>
		<description>Mawazo yenu wengi ni matatizo ni sawa na watu wanaoshabikia nyaraka za waislamu na wakristo. Zanzibar inahitaji sana muungano kwa sababu bado ina matatizo ya kiuchumi na hata haijitoleshezi kwa chakula. 
Nadhani hii ni mbaya sana kung&#039;ang&#039;ania kuvunja muungano. Mafuta mbona hayajapatikana na watu wanauana?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mawazo yenu wengi ni matatizo ni sawa na watu wanaoshabikia nyaraka za waislamu na wakristo. Zanzibar inahitaji sana muungano kwa sababu bado ina matatizo ya kiuchumi na hata haijitoleshezi kwa chakula.<br />
Nadhani hii ni mbaya sana kung&#8217;ang&#8217;ania kuvunja muungano. Mafuta mbona hayajapatikana na watu wanauana?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Narendra Gajjar</title>
		<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-217</link>
		<dc:creator>Narendra Gajjar</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 17 Aug 2009 03:23:44 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://zanzibardaima.wordpress.com/maoni/#comment-217</guid>
		<description>Hiyo Gas na Mafuta inaleta Umoja ya Wazanzibari na hiyo ndo inatakiwa.
Maendeleo italetwa na wazanzibari na siyo wageni wala waheshani.
Mzee Jumbe, alisema MAPINDUZI DAIMA, mana kuendeleza na kubadlisha maisha ya Wazanzibari iwe nzuri kwa kupata Elimu,Matibabu,Malazi bora. 
Sasa tujee ulize,Tulipo toka,Hapo Tulipo na Hapo Tunapo Kwenda....jee hayo MAPINDUZI DAIMA?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hiyo Gas na Mafuta inaleta Umoja ya Wazanzibari na hiyo ndo inatakiwa.<br />
Maendeleo italetwa na wazanzibari na siyo wageni wala waheshani.<br />
Mzee Jumbe, alisema MAPINDUZI DAIMA, mana kuendeleza na kubadlisha maisha ya Wazanzibari iwe nzuri kwa kupata Elimu,Matibabu,Malazi bora.<br />
Sasa tujee ulize,Tulipo toka,Hapo Tulipo na Hapo Tunapo Kwenda&#8230;.jee hayo MAPINDUZI DAIMA?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
