<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:georss="http://www.georss.org/georss" xmlns:geo="http://www.w3.org/2003/01/geo/wgs84_pos#" xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: Kama Zanzibar si nchi, Karume Mkuu wa Mkoa?</title>
	<atom:link href="http://zanzibardaima.wordpress.com/2008/08/15/kama-zanzibar-si-nchi-karume-mkuu-wa-mkoa/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/2008/08/15/kama-zanzibar-si-nchi-karume-mkuu-wa-mkoa/</link>
	<description>Mtazamo wa Mzanzibari kwa Nchi yake</description>
	<lastBuildDate>Tue, 17 Nov 2009 15:55:46 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.com/</generator>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<item>
		<title>By: ommykiss</title>
		<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/2008/08/15/kama-zanzibar-si-nchi-karume-mkuu-wa-mkoa/#comment-202</link>
		<dc:creator>ommykiss</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 04 Jul 2009 13:09:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://zanzibardaima.wordpress.com/?p=364#comment-202</guid>
		<description>ndugu yangu khamis hayo matatizo yaliotokea sudan mimi nataka kama sasa hivi yatokee lakini ni bora tukose sote tushachoka, kwa nini wafaidike wachache na wengi tubaki tukiteseka? tumechoka kudhulumiwa, tumechoka kuuliwa, tumechoka kusulubiwa, wazanzibari tuondowe mambo ya itikadi na tuungane kuikomboa nchi yetu.haya maneno sitaki hata kuyasikia sijui tanzania, sijui muungano tumechoka tena tumechoka, tuikomboe nchi yetu kwa manufaa yetu na vizazi vyetu</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>ndugu yangu khamis hayo matatizo yaliotokea sudan mimi nataka kama sasa hivi yatokee lakini ni bora tukose sote tushachoka, kwa nini wafaidike wachache na wengi tubaki tukiteseka? tumechoka kudhulumiwa, tumechoka kuuliwa, tumechoka kusulubiwa, wazanzibari tuondowe mambo ya itikadi na tuungane kuikomboa nchi yetu.haya maneno sitaki hata kuyasikia sijui tanzania, sijui muungano tumechoka tena tumechoka, tuikomboe nchi yetu kwa manufaa yetu na vizazi vyetu</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: khamisi</title>
		<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/2008/08/15/kama-zanzibar-si-nchi-karume-mkuu-wa-mkoa/#comment-190</link>
		<dc:creator>khamisi</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 25 May 2009 20:44:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://zanzibardaima.wordpress.com/?p=364#comment-190</guid>
		<description>asalam aleikum,haya mambo ya zanzibar naona kila tukirabu kujinasua  ndivyo wenzetu wa ccm wanavyozidi kukaza kamba  kwa nini kwa sababu wanaangalia zaidi maslahi yao binafsi.angalia mtu kama mohammed seif tulitegemea aitetee zanzibar lakini wapi kwa sababu anajua maslahi yake yako zaidi bara kuliko zanzibar.siyeye tu angalia salim ahmeid salim wakati akiwa waziri mkuu alisimamia kwa kila hali zanzibar isiwe na bendera yake wakati akijua fika hiyo bendera isingesaidia chochote lakini alfanya hivyo kujipendekeza kwa nyerere kwa kujua kwamba maslahi yake yako bara,kwa hivyo hizo kelele tunazopiga kila siku ni buretu wakati hao viongozi tunaowachagua wa ccm, ni wanafiki .lakini nahofia kizazi kijacho hakitakubali na hapo matatizo yanayotokea katika sudan huko dafur sina wasiwasi yatatokea hapa kwetu</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>asalam aleikum,haya mambo ya zanzibar naona kila tukirabu kujinasua  ndivyo wenzetu wa ccm wanavyozidi kukaza kamba  kwa nini kwa sababu wanaangalia zaidi maslahi yao binafsi.angalia mtu kama mohammed seif tulitegemea aitetee zanzibar lakini wapi kwa sababu anajua maslahi yake yako zaidi bara kuliko zanzibar.siyeye tu angalia salim ahmeid salim wakati akiwa waziri mkuu alisimamia kwa kila hali zanzibar isiwe na bendera yake wakati akijua fika hiyo bendera isingesaidia chochote lakini alfanya hivyo kujipendekeza kwa nyerere kwa kujua kwamba maslahi yake yako bara,kwa hivyo hizo kelele tunazopiga kila siku ni buretu wakati hao viongozi tunaowachagua wa ccm, ni wanafiki .lakini nahofia kizazi kijacho hakitakubali na hapo matatizo yanayotokea katika sudan huko dafur sina wasiwasi yatatokea hapa kwetu</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mwamba mu1884@hotmail.com</title>
		<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/2008/08/15/kama-zanzibar-si-nchi-karume-mkuu-wa-mkoa/#comment-179</link>
		<dc:creator>mwamba mu1884@hotmail.com</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 13 May 2009 12:55:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://zanzibardaima.wordpress.com/?p=364#comment-179</guid>
		<description>aa, natumai kwa haya sina la kusema kwani huu ni ukweli mtupu ila kwa wenye itkadi za siasa atasema hii sio kweli ila kwa mtazamo wa kiukweli hii ndo ilivyo.hata rais wa jamhuri akienda zanzibar basi hana malaka kwani rais wa zanzibar ndo mas&#039;uul wa nchi hiyo.HUU NDO UKWELI HALISI.HONGERA KWA KUSEMA UKWELI</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>aa, natumai kwa haya sina la kusema kwani huu ni ukweli mtupu ila kwa wenye itkadi za siasa atasema hii sio kweli ila kwa mtazamo wa kiukweli hii ndo ilivyo.hata rais wa jamhuri akienda zanzibar basi hana malaka kwani rais wa zanzibar ndo mas&#8217;uul wa nchi hiyo.HUU NDO UKWELI HALISI.HONGERA KWA KUSEMA UKWELI</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: saleh shaaban</title>
		<link>http://zanzibardaima.wordpress.com/2008/08/15/kama-zanzibar-si-nchi-karume-mkuu-wa-mkoa/#comment-172</link>
		<dc:creator>saleh shaaban</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 09 May 2009 20:40:09 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://zanzibardaima.wordpress.com/?p=364#comment-172</guid>
		<description>I think it is a good points. keep on educating people.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>I think it is a good points. keep on educating people.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
